Baqaei atangaza mabadiliko katika ratiba ya mazungumzo ya Iran na Marekani

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kubadilishwa tarehe ya duru ijayo ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja ya Iran na Marekani ambayo yalipangwa kufanyika Jumamosi ya tarehe 4 Mei huko Roma, mji mkuu wa Italia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *