Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen, Hans Grundberg ameonya kuhusu athari mbaya za Marekani kuitambua Harakati ya Ansarullah ya Yemen kuwa kundi la kigeni la kigaidi, kutokana na mashambulizi ya kundi hilo la Muqawama ya kulipiza kisasi dhidi ya maeneo ya Israel.
Related Posts
Jumatatu, 10 Februari, 2025
Leo ni Jumatatu tarehe 11 Shaaban 1446 Hijria, sawa na tarehe 10 Februari 2025. Post Views: 22
Pigo jingine kwa mkoloni kizee Ufaransa, sasa ni wanajeshi wake wa Côte d’Ivoire
Jana Alkhamisi, mkoloni kizee wa Ulaya yaani Ufaransa alipata pigo jingine baada ya wanajeshi wake kutimuliwa katika kambi yake pekee…
Msaada wa kijeshi wa Ujerumani haukuweza kuokoa serikali ya Kiev – mbunge mkuu wa Urusi
Msaada wa kijeshi wa Ujerumani haukuweza kuokoa serikali ya Kiev – mbunge mkuu wa Urusi“Vifaru na vifaru vyote vipya vya…