Balozi wa Iran akosoa kuenea chuki dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi

Ali Bahraini, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva, amekosoa kuenea kwa chuki dhidi ya Uislamu au kwa maneno mengine Islamophobia katika nchi za Magharibi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *