Balozi wa A/Kusini arejea nyumbani kutoka US kwa ufakhari mkubwa

Balozi wa Afrika Kusini ambaye rais wa Marekani Donald Trump ametaka aondoke nchini humo kutokana na kukosoa sera zake, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *