#BajetiKuu2025 Hivi ndivyo Waziri wa Fedha, @mwigulunchemba alivyoingia bungeni tayari kwa uwasilishaji wa hotuba ya Bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026.
Tupate mbashara kupitia #UTV chaneli namba 108 kwenye kisimbuzi cha #AzamTV, pia kupitia #AzamTVMaxApp pamoja na chaneli zetu za YouTube #AzamTV na #UTVTanzania
✍️ @abuuyusuftz
#HotubaYaBajeti #BungeLIVE #AzamTVUpdates