Baghaei: Machi 19 ni uthibitisho wa dhamira ya Wairani ya kupinga uonevu

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa tarehe 29 Isfand (Machi 19), ambayo ni maadhimisho ya siku ya kufanywa mafuta ya Iran kuwa ni mali ya taifa, ni ushahidi wa azma ya kweli ya wananchi wa Iran ya kupinga uonevu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *