Baada ya US na Israel kuishambulia kijeshi Yemen kwa pamoja, Ansarullah yasema: Tutajibu mapigo

Ndege za kivita za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel usiku wa kuamkia leo zimeshambulia bandari ya Al Hudaydah magharibi mwa Yemen.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *