Baada ya Trump kulegeza msimamo, sasa China yamwekea masharti

China imeiwekea Washington masharti ya mazungumzo baada ya vita vya biashara na ushuru vilivyoanzishwa na Donald Trump kushindwa kuwa na taathira zilizotarajiwa mbali na kusababisha vurugu katika masoko ya fedha ya Marekani, jambo ambalo limemlazimisha Trump alegeze tena misimamo na kudai anataka mazungumzo na Beijing.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *