Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema kuwa, madai ya rais wa Marekani ya kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Iran ni ya uongo na ya hadaa zake za kawaida na kwamba Marekani haina hadhi ya kuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na Iran.
Related Posts
Kukiri jamii ya ujasusi ya Marekani kwamba Hamas haijashindwa huko Gaza
Ripoti kuhusu vitisho ambayo hutolewa kila mwaka na jamii ya masuala ya ujasusi ya Marekani imekiri kwamba kundi la muqawama…
Ripoti kuhusu vitisho ambayo hutolewa kila mwaka na jamii ya masuala ya ujasusi ya Marekani imekiri kwamba kundi la muqawama…
EuroMed Rights: Mpango wa Trump ni kuunga mkono mauaji ya Kimbari dhidi ya watu wa Palestina
Kundi la kutetea haki za binadamu Ulaya-Mashariki ya Kati limeelezea wasiwasi wake mkubwa juu ya pendekezo la hivi karibuni la…
Kundi la kutetea haki za binadamu Ulaya-Mashariki ya Kati limeelezea wasiwasi wake mkubwa juu ya pendekezo la hivi karibuni la…

Ukraine yadai kudhibiti kilomita za mraba 1,000 za eneo la Urusi
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…