Ayatullah Seddiqi: Marekani haina hadhi ya kuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na Iran

Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema kuwa, madai ya rais wa Marekani ya kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Iran ni ya uongo na ya hadaa zake za kawaida na kwamba Marekani haina hadhi ya kuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na Iran.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *