Awamu ya nne ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani yafanyika Oman

Awamu ya nne ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani imefanyika leo Jumapili, Mei 11, 2025 mjini Muscat kwa upatanishi wa Oman na kumshirikisha Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na mjumbe maalumu wa rais wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *