AU yapongeza kuteuliwa Waziri Mkuu raia nchini Sudan

AU yapongeza kuteuliwa Waziri Mkuu raia nchini Sudan

Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) Mahmoud Ali Youssouf amepoongeza kuteuliwa Kamil Idris kwa Waziri Mkuu mpya wa Sudan, na kusema kuwa hiyo ni hatua ya kuelekea kwenye utawala jumuishi katika nchi hiyo inayoendelea kuteseka kwa migogoro.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *