AU yalaani shambulio dhidi ya msafara wa Rais wa Somalia

Somalia na Umoja wa Afrika (AU) zimelaani shambulizi la kigaidi lililolenga msafara wa Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud huko Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *