AU haiwezi kufurahishwa na njama za kuwapora Wapalestina na kuwapeleka barani Afrika

AU haiwezi kufurahishwa na njama za kuwapora Wapalestina na kuwapeleka barani Afrika

Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Tete Antonio amesema kuwa, Umoja wa Afrika (AU) hauwezi kuwa na furaha unapoona kuna njama za kuwapora Wapalestina ardhi zao na kuwapeleka barani Afrika.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *