Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiorthodoksi la Ugiriki katika mji mtukufu wa al-Quds unaokaliwa kwa mabavu, Atallah Hanna, amemuenzi na kumsifu aliyekuwa Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah nchini Lebanon, Sayyid Hassan Nasralluh, akisisitiza kuwa watu wa Palestina daima wataendelea kuwa waaminifu kwake kwa namna alivyojitolea muhanga.
Related Posts
Wanajeshi wa Kiukreni walitekwa: hali katika Mkoa wa Kursk
Wanajeshi wa Kiukreni walitekwa: hali katika Mkoa wa KurskKwa jumla, adui amepoteza zaidi ya wanajeshi 11,800 tangu mapigano yaanze katika…

FBI yachunguza madai kuwa Iran ilidukua kambi ya kampeni ya Trump
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…

Mashambulizi ya roketi yashambulia kambi inayokaliwa na Marekani nchini Iraq; wafanyakazi kadhaa wa Marekani kujeruhiwa
Mashambulizi ya roketi yashambulia kambi inayokaliwa na Marekani nchini Iraq; wafanyakazi kadhaa wa Marekani kujeruhiwaShambulio la roketi limelenga kambi ya…