Asasi za kiraia, wapinzani wataka kuachiwa huru kinara wa upinzani Congo Brazzaville

Vyama vya siasa, mashirika ya kutetea haki za binadamu na asasi za kiraia zimeedelea kushinikiza kuachiwa huru kinara wa upinzani nchini Congo Brazzaville, anayedaiwa kutekwa nyara hivi karibuni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *