Asasi za kiraia, wapinzani Tanzania walaani kukamatwa Tundu Lissu

Mashirika ya kiraia, vyama vya upinzani na asasi za kutetea haki za binadamu nchini Tanzania zimekosoa vikali hatua ya kukamatwa na kushtakiwa Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo CHADEMA.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *