Araqchi: Uhusiano wa Iran na Algeria uko imara, ni wa kihistoria

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Algeria ni nchi kubwa na yenye taathira katika Ulimwengu wa Kiislamu na kwamba uhusiano kati ya nchi hiyo na Iran ni mkubwa, imara na wa siku nyingi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *