Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelaani mashambulizi ya kijeshi ya mara kwa mara ya Marekani katika maeneo mbalimbali ya Yemen na kusema: Mashambulizi ya kijeshi ya Marekani huko Yemen sambamba na kushtadi mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na hujuma zake dhidi ya Lebanon na Syria, yanaonyesha namna Marekani inavyoshiriki katika uvunjaji sheria wa Israel na kwenda sambamba na utawala huo katika kueneza machafuko na hali ya mchafukoge katika eneo.
Related Posts
Watu 148 wamefariki katika ajali ya boti nchini DRC
Idadi ya watu waliofariki dunia ilifikia 148 kutokana na ajali ya boti katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mapema wiki…
Idadi ya watu waliofariki dunia ilifikia 148 kutokana na ajali ya boti katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mapema wiki…

Urusi yafanya mazoezi makubwa zaidi ya kimkakati ya wanamaji katika miongo kadhaa
Urusi ikifanya mazoezi makubwa zaidi ya kimkakati ya wanamaji katika miongo kadhaaMeli na ndege za wanamaji wa China pia zinashiriki…
Urusi ikifanya mazoezi makubwa zaidi ya kimkakati ya wanamaji katika miongo kadhaaMeli na ndege za wanamaji wa China pia zinashiriki…
Israel yaendelea kupata pigo, mashirika makubwa ya ndege yagoma kwenda Tel Aviv
Mashambulizi ya Jeshi la Yemen dhidi ya uwanja wa ndege wa Ben Gurion huko Tel Aviv yanaendelea kuutia hasara kubwa…
Mashambulizi ya Jeshi la Yemen dhidi ya uwanja wa ndege wa Ben Gurion huko Tel Aviv yanaendelea kuutia hasara kubwa…