Araqchi: Iran imo mbioni kuanzisha tena uhusiano na Bahrain na Misri

Araqchi: Iran imo mbioni kuanzisha tena uhusiano na Bahrain na Misri

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamahuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mchakato wa kurejesha uhusiano wa nchi hii na Bahrain na Misri umeanza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *