Araqchi: Haki ya Iran ya kurutubisha urani kwa malengo ya amani si ya kufumbiwa macho

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba, hakuna sinario na kitu ambacho kitaifanya Iran iachane na haki yake ya kurutubisha madini ya urani kwa malengo ya amani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *