Araghchi: Mienendo inayokinzana ya Marekani inazidisha kutoaminiwa diplomasia

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mienendo inayokinzana ya Marekani ndio sababu ya kuongezeka kutoaminiana katika uga wa diplomasia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *