Araghchi: Maadui watajuta kwa kutoa vitisho dhidi ya Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitamruhusu mtu yeyote kuzungumza nayo kwa lugha ya ubabe na vitisho, akiwaonya maadui kwamba watajuta kulitishia taifa hili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *