Araghchi: Kuendelea kuzingirwa Gaza na kuuawa watu wasio na hatia ni jinai isiyo na mfano

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuendelea kuzingirwa Gaza na kuuawa watu wasio na hatia ni jinai isiyo na mfano katika historia ya mwanadamu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *