Araghchi: Iran imeazimia kikweli kufikia makubaliano yenye uwiano

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema kuwa Iran hivi sasa imeazimia kikwelikweli kufikia makubaliano ya haki na yenye uwiano kuliko wakati mwingine wowote.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *