Araghchi: Diplomasia ya Iran inazuiliwa na vitisho vya kivita vya Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepuuzilia mbali mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani na kuyataja kuwa yasiyo na maana kutokana na vitisho vya Washington vya kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Iran.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *