Araghchi: China na Russia ni washirika wa kimkakati wa Iran

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mara baada ya kuwasili nchini China kwamba, madhumuni ya ziara hiyo ni kuwasilisha ujumbe wa Rais wa Iran kwa maafisa wa China.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *