Araghchi akiwa India: Iran inataka mvutano upungue kwani eneo linahitaji amani

Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, amesema kuwa Tehran inazitaka India na Pakistan kujizuia na kuepusha kuongezeka kwa mvutano katika eneo hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *