AP: Yemen imetungua droni 7 za US zenye thamani ya dola milioni 200

Vikosi vya Yemen vimetungua ndege saba zisizo na rubani za Marekani aina ya Reaper katika kipindi cha chini ya wiki sita, na kuisababishia Washington hasara ya zaidi ya dola milioni 200.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *