Kiongozi wa harakati ya Ansarulllah nchini Yemen, Abdul-Malik al-Houthi, ameapa kuchukua hatua za kijeshi mara moja iwapo Marekani na Israel zitaanzisha mashambulizi kwenye Ukanda wa Gaza au kutekeleza mpango wa kuwahamisha kwa mabavu wakazi wa eneo hilo.
Related Posts
Mufti wa Oman asisitiza kuunga mkono Wapalestina wanaodhulumiwa Gaza
Mufti Mkuu wa Oman amewataka Waislamu wote na watu wanaopenda uhuru duniani kusaidia watu wanaodhulumiwa wa Gaza wanaoishi katika hali…
Mufti Mkuu wa Oman amewataka Waislamu wote na watu wanaopenda uhuru duniani kusaidia watu wanaodhulumiwa wa Gaza wanaoishi katika hali…
Magaidi 16 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia
Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kuwaua magaidi 16 wa al-Shabaab katika operesheni katika mkoa wa Hiiraan, mashariki mwa nchi,…
Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kuwaua magaidi 16 wa al-Shabaab katika operesheni katika mkoa wa Hiiraan, mashariki mwa nchi,…
AU yalaani shambulio dhidi ya msafara wa Rais wa Somalia
Somalia na Umoja wa Afrika (AU) zimelaani shambulizi la kigaidi lililolenga msafara wa Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud huko…
Somalia na Umoja wa Afrika (AU) zimelaani shambulizi la kigaidi lililolenga msafara wa Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud huko…