Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa mkono wa pole kufuatia tangazo la kuuliwa shahidi Muhammad al Dhaif na kusema kamanda huyo Mpalestina alijitolea maisha yake kwa ajili ya kukomboa ardhi ya Palestina.
Related Posts
Pezeshkian: Mataifa ya Kiislamu yanaweza kukomesha jinai za Israel
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema umoja na mshikamano miongoni mwa mataifa ya Kiislamu unaweza kuwa chachu ya kukomeshwa jinai…
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema umoja na mshikamano miongoni mwa mataifa ya Kiislamu unaweza kuwa chachu ya kukomeshwa jinai…
Mapigano makali katika mji mkuu wa Sudan na karibu na ikulu ya Rais
Duru za habari zimetangaza kuwa mapigano makali yamejiri kati ya jeshi la Sudan na kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF)…
Duru za habari zimetangaza kuwa mapigano makali yamejiri kati ya jeshi la Sudan na kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF)…
Pezeshkian: ECO ni jukwaa muhimu la ushirikiano baina ya nchi za Kiislamu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano kati ya nchi za Kiislamu na amesema:…
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano kati ya nchi za Kiislamu na amesema:…