Ansarullah: Mapatano na Marekani hayatazuia mashambulizi ya Yemen dhidi ya Israel

Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen imesema kuwa kusitishwa kwa mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Yemen mkabala wa kusitisha mashambulizi dhidi ya meli za kivita za Marekani katika Bahari ya Shamu hakutabadilisha msimamo wa Yemen kuhusu kushambulia Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *