Ansarullah: Iran imetekeleza wajibu wake wa Kiislamu kuiunga mkono Palestina

Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen ameipongeza Iran kwa uungaji mkono wake usio na kikomo kwa taifa la Palestina na kadhia yao halali na kueleza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inafuata njia ya heshima katika suala hilo na nchi nyingine zote za Kiislamu lazima zifuate mkondo huo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *