Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeeleza kuridhishwa kwake na hatua ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kulaani mashambulizi yanayotekelezwa na Jeshi la Yemen dhidi ya ngome za Isarel katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kusema hasira yake ni ushahidi wa juhudi zenye mafanikio katika kuunga mkono Wapalestina.
Related Posts
Jihadul Islami: Hatutaruhusu kufukuzwa Wapalestina Gaza
Mwakilishi wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina mjini Tehran amesema Wapalestina kamwe hawatakubali kutekelezwa mpango wa Marekani wa kuwaondoa…
Mwakilishi wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina mjini Tehran amesema Wapalestina kamwe hawatakubali kutekelezwa mpango wa Marekani wa kuwaondoa…
Jeshi la Urusi limeharibu drones 35, boti kumi zisizo na rubani katika mikoa miwili
Jeshi la Urusi limeharibu drones 35, boti kumi zisizo na rubani katika mikoa miwili“Vikosi vya ulinzi wa anga viliharibu drone…
Jeshi la Urusi limeharibu drones 35, boti kumi zisizo na rubani katika mikoa miwili“Vikosi vya ulinzi wa anga viliharibu drone…
Rais Ruto: Mwanasheria Mkuu aliyefutwa kazi alichelewesha mfuko wa wakfu wa Waislamu
Rais William Ruto wa Kenya amemkosoa hadharini aliyekuwa Mwanasheria Mkuu Justin Muturi, akitaja kipindi chake cha uongozi kuwa “kisichofaa” katika…
Rais William Ruto wa Kenya amemkosoa hadharini aliyekuwa Mwanasheria Mkuu Justin Muturi, akitaja kipindi chake cha uongozi kuwa “kisichofaa” katika…