Angola yataka kusitishwa mapigano kabla ya mazungumzo ya amani DRC

Rais wa Angola, João Lourenço, ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) ametoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano katika mzozo unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *