Wanachama waliokuwa wamejizatiti kwa silaha wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wamewauwa watu wasiopungua saba katika shambulio dhidi ya hoteli moja katika mji wa kati wa Somalia; ambapo wazee wa eneo hilo na maafisa wa serikali walikuwa wamekutana kujadili jinsi ya kuchukua hatua dhidi ya genge hilo la wanamgambo.
Related Posts
Imam Khamenei: Wairani wamepuuza vitisho vya kijinga vya adui na kutuma ‘ujumbe wa umoja’ kwenye maadhimisho ya Bahman 22
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amelipongeza taifa la Iran kwa kufikisha “ujumbe wa umoja” kwa jamii…
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amelipongeza taifa la Iran kwa kufikisha “ujumbe wa umoja” kwa jamii…
Hata kiongozi wa upinzani Israel amshutumu Netanyahu kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha vita Ghaza
Kiongozi wa upinzani katika utawala wa Kizayuni wa Israel amemshutumu waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kwa kukiuka makubaliano…
Kiongozi wa upinzani katika utawala wa Kizayuni wa Israel amemshutumu waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kwa kukiuka makubaliano…
Iran ina nafasi muhimu katika soko la kimataifa la teknolojia ya nano
Katibu wa Taasisi ya Tekenolojia ya Nano ya Iran amesema kuwa, Tehran imekuwa na nafasi muhimu katika soko la kimataifa…
Katibu wa Taasisi ya Tekenolojia ya Nano ya Iran amesema kuwa, Tehran imekuwa na nafasi muhimu katika soko la kimataifa…