Al-Shabaab yaendelea kumwaga damu za Waislamu Ramadhani

Wanachama waliokuwa wamejizatiti kwa silaha wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wamewauwa watu wasiopungua saba katika shambulio dhidi ya hoteli moja katika mji wa kati wa Somalia; ambapo wazee wa eneo hilo na maafisa wa serikali walikuwa wamekutana kujadili jinsi ya kuchukua hatua dhidi ya genge hilo la wanamgambo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *