Al-Qaeda yatangaza kuhusika na mashambulizi ya Burkina Faso, yasema imeua wanajeshi 60

Kundi lenye mafungamano na al-Qaeda, JNIM, limetangaza kuhusika na shambulio lililofanyika katika eneo la kijeshi kwenye jimbo la Loroum kaskazini mwa Burkina Faso, likidai kuwaua wanajeshi 60.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *