Abdel Fattah Al-Burhan, Mkuu wa Baraza la Mpito la Sudan ambaye pia ni Mkuu wa Jeshi la Sudan SAF, amepinga vikali mazungumzo ya aina yoyote ile na wapiganaji wa Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF na kutangaza ushindi kamili dhidi ya vikosi hivyo.
Related Posts
Taasisi ya Wanafikra ya Marekani: Trump hawezi kuishinda Ansarulllah ya Yemen
Taasisi ya Kutetea Demokrasia (FDD) nyenye makao yake makuu huko Washington DC imezungumzia kushindwa serikali ya Donald Trump katika kukabiliana…
Zaidi ya ndege 50 zisizo na rubani za Ukraine zimeshambulia eneo la kusini mwa Urusi jana usiku – gavana
Zaidi ya ndege 50 zisizo na rubani za Ukraine zimeshambulia eneo la kusini mwa Urusi jana usiku – gavanaTimu za…

Vikosi vya Ukraine ‘vyajisalimisha’ katika eneo la mpaka wa Urusi (VIDEO)
Vikosi vya Ukraine ‘vyajisalimisha’ katika eneo la mpaka wa Urusi (VIDEO) Kikosi kizima cha vikosi vya Kiev kimeripotiwa kuweka silaha…