Al Burhan apinga mazungumzo Sudan, atangaza ushindi kamili

Abdel Fattah Al-Burhan, Mkuu wa Baraza la Mpito la Sudan ambaye pia ni Mkuu wa Jeshi la Sudan SAF, amepinga vikali mazungumzo ya aina yoyote ile na wapiganaji wa Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF na kutangaza ushindi kamili dhidi ya vikosi hivyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *