Afrika; Mshirika wa mkakati wa thamani kwa Iran

Katika Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika, ulioanza katika Ukumbi wa Mikutano ya Wakuu wa Nchi za Kiislamu kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 38 na wajumbe 51 rasmi, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, alisisitiza kuwa Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Afrika kwa kuwezesha nchi za Afrika zinufaika mafanikio ya Iran katika sekta za afya, biashara, viwanda, kilimo, usalama, amani na utulivu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *