Katika Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika, ulioanza katika Ukumbi wa Mikutano ya Wakuu wa Nchi za Kiislamu kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 38 na wajumbe 51 rasmi, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, alisisitiza kuwa Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Afrika kwa kuwezesha nchi za Afrika zinufaika mafanikio ya Iran katika sekta za afya, biashara, viwanda, kilimo, usalama, amani na utulivu.
Related Posts
Onyo Kali la Iran kwa Marekani na Utawala wa Kizayuni
Katika mazingira ya kuongezeka kwa vita vya kisaikolojia vinavyoendeshwa na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni, na vitisho vya mara…
Katika mazingira ya kuongezeka kwa vita vya kisaikolojia vinavyoendeshwa na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni, na vitisho vya mara…
Iran: Mazungumzo ya Oman ni chanya na ya matumaini; kuendelea wiki ijayo
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ameitaja duru ya kwanza ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ameitaja duru ya kwanza ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja…
Je, BRICS inafuatilia sera zipi katika duru hii mpya?
Brazil, ikiwa mwenyekiti mpya wa kundi la BRICS, imefafanua mipango ya kundi hili katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kibiashara, kisiasa…
Brazil, ikiwa mwenyekiti mpya wa kundi la BRICS, imefafanua mipango ya kundi hili katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kibiashara, kisiasa…