Wizara ya Mambo ya Nje ya Afrika Kusini imeashiria hatua ya rais wa Marekani, ya kufanya propaganda kubwa dhidi ya nchi hiyo kutokana na uhusiano mzuri wa Afrika Kusini na Iran na hatua ya Pretoria ya kufungua kesi ya kuadhibiwa viongozi watenda jinai wa Israel kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ na kusema kuwa, inasikitisha kuona Marekani inaendesha propaganda chafu dhidi ya Afrika Kusini.
Related Posts
Russia nayo yaionya Washington kuhusu shambulio lolote dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameonya kwamba shambulio lolote dhidi ya miundombinu ya nyuklia ya Iran linaweza…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameonya kwamba shambulio lolote dhidi ya miundombinu ya nyuklia ya Iran linaweza…
China yaitaka Syria iunde serikali shirikishi na ipambane na ugaidi
Mwakilishi wa Kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa mpito wa Syria waandae mchakato wa kuasisi serikali…
Mwakilishi wa Kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa mpito wa Syria waandae mchakato wa kuasisi serikali…
UNICEF yaonya Israel dhidi ya kuzuia misaada kuelekea Gaza
Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF limeonya kuwa uamuzi wa Israel wa kuzuia upelekaji wa misaada ya…
Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF limeonya kuwa uamuzi wa Israel wa kuzuia upelekaji wa misaada ya…