Afrika ilikuwa na zaidi ya miripuko 200 ya magonjwa mwaka 2024

Vituo vya Afrika vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) vimeonya kuhusu ongezeko kubwa la dharura la afya ya umma katika bara zima la Afrika, huku zaidi ya miripuko ya magonjwa 200 ikiripotiwa mwaka jana.