Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Haki za Binadamu na Masuala ya Wanawake ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema azimio lililopasishwa hivi karibuni na Bunge la Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu halina msingi wowote wa kisheria na linaonyesha tabia ya uingiliaji ya chombo hicho.
Related Posts
Ghana: Dunia inamwaga mabilioni ya dola kwenye vita wakati mamilioni wanateseka kwa njaa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ghana Samuel Okudzeto Ablakwa amesema, matumizi ya kupindukia ya masuala yanakengeusha rasilimali muhimu za…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ghana Samuel Okudzeto Ablakwa amesema, matumizi ya kupindukia ya masuala yanakengeusha rasilimali muhimu za…
Al Burhan: Makundi yanayoliunga mkono jeshi hayatanyakua mamlaka baada ya vita
Mkuu wa Baraza la Utawala na Kamanda wa Jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amesema kuwa makundi yanayoliunga mkono jeshi…
Mkuu wa Baraza la Utawala na Kamanda wa Jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amesema kuwa makundi yanayoliunga mkono jeshi…
Iran yalaani shambulizi la kigaidi la Balochistan, Pakistan
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi katika jimbo la Balochistan nchini Pakistani,…
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi katika jimbo la Balochistan nchini Pakistani,…