Afisa wa ngazi ya juu wa EU: Mfumo wa dunia unasambaratika

Mkuu wa Kamisheni ya Ulaya amesema kuwa EU inapasa kuwa na mchango athirifu katika kuasisi mfumo mpya wa dunia huku ikiimarisha uwezo wake wa kijeshi na kiuchumi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *