Abu Ubaidah: Wapalestina hawatosahau Wayemen walivyosimama nao bega kwa bega

Msemaji wa Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, Wapalestina hawatosahau namna Wayemen walivyosimama imara na bega kwa bega pamoja nao katika Jihadi ya kuikomboa ardhi ya Palestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *