Mwakilishi wa harakati ya Jihad Islami ya Palestina mjini Tehran amesema: Licha ya uchache wa suhula waliokuwa nao, wananchi wa Gaza waliweza kuendeleza mapambano yao ya ukombozi na kuzuia kusonga mbele utawala wa Kizayuni kutokana na uungaji mkono na msaada mkubwa wa Mhimili wa Muqawama unaojumuisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Lebanon, Iraq na Yemen.
Related Posts
Mafanikio ya kimkakati uliyopata Muqawama wa Lebanon chini ya uongozi wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah
Jana Jumapili Februari 23 yalifanyika mjini Beirut, Lebanon mazishi ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah aliyeuawa shahi,…
Vyombo vya habari vya Israel vinaonya kuhusu Hezbollah ‘mtego wa kifo’ iwapo Israel itaivamia Lebanon
Vyombo vya habari vya Israel vinaonya kuhusu Hezbollah ‘mtego wa kifo’ iwapo Israel itaivamia Lebanon Gazeti moja la Israel limeionya…

Vikosi vya ulinzi vya anga vya Yemen vimeidungua ndege isiyo na rubani ya MQ-9 Reaper ya Marekani katika Mkoa wa Sa’ada
Vikosi vya ulinzi vya anga vya Yemen vimeidungua ndege isiyo na rubani ya MQ-9 Reaper ya Marekani katika Mkoa wa…