Abu Obeida: Yemen imeonyesha kuwa Gaza haiko peke yake

Msemaji wa tawi la kijeshi la harakati ya Hamas amesema kuwa wananchi wa Yemen wamegharamika pakubwa kwa ajili ya kuihami Gaza, hata hivyo bado wanaendea kuwaunga mkono na kuwatetea watu wa eneo hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *