A/Kusini: Russia ni mshirika wetu mkuu katika sekta ya anga za mbali

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Kitaifa la Anga za Mbali la Afrika Kusini (SANSA) amesema Russia ni mshirika mkuu wa Afrika Kusini katika kuendeleza mipango yake ya kitaifa ya anga za juu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *