Ingawa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni alikusudia kupanua wigo wa vita vya utawala huo kusini mwa Lebanon ili kudhamini maslahi yake binafsi, lakini nguvu ya Hizbullah ya kuzuia mashambulizi na hasa kufanikiwa operesheni yake ya karibuni ya Arbaeen, ambayo imelenga vituo 11 vya kijeshi na kijasusi vya utawala wa Kizayuni, imempelekea kutafakari upya na kuhamishia uchokozi wake katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kwa sasa.
Related Posts
#HABARI: Katika kuhakikisha ulinzi na Elimu vinatolewa, Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha Wanamaji nchini kimeyafikia makundi m…
#HABARI: Katika kuhakikisha ulinzi na Elimu vinatolewa, Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha Wanamaji nchini kimeyafikia makundi mbalimbali yawatumiaji wa…
#HABARI: Katika kuhakikisha ulinzi na Elimu vinatolewa, Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha Wanamaji nchini kimeyafikia makundi mbalimbali yawatumiaji wa…
Azma ya Iran na Russia ya kukamilisha hati jumuishi ya ushirikiano
Akikaribisha matamshi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu kuendelea uhusiano na Russia, Waziri wa Mashauri ya Kigeni…
Akikaribisha matamshi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu kuendelea uhusiano na Russia, Waziri wa Mashauri ya Kigeni…
🔴Habari za Saa, Saa Tatu na Dakika 55…..Julai 30, 2024
🔴Habari za Saa, Saa Tatu na Dakika 55…..Julai 30, 2024 Post Views: 37
🔴Habari za Saa, Saa Tatu na Dakika 55…..Julai 30, 2024 Post Views: 37