Baadhi ya mameya wa jiji la Los Angeles, Marekani wameungana pamoja kumshinikiza Rais Donald Trump kusitisha zoezi la kutuma wanajeshi katika mji huo, kwa kile walichokiita uvamizi dhidi ya wahamiaji.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Mizozo ya kijeshi duniani
Baadhi ya mameya wa jiji la Los Angeles, Marekani wameungana pamoja kumshinikiza Rais Donald Trump kusitisha zoezi la kutuma wanajeshi katika mji huo, kwa kile walichokiita uvamizi dhidi ya wahamiaji.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi