12.06.2025

SK2 / S02S12 Juni 2025

Shirika la misaada ya kibinadamu la Gaza GHF, limesema basi lililokuwa likiwasafirisha wafanyakazi wake wa Kipalestina limeshambuliwa+++Leo dunia inaadhimisha siku ya kupinga ajira kwa watoto+++Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, wa Tanzania Profesa Kitila Mkumbo amesema Tanzania imeonesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake.

https://p.dw.com/p/4voJR

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *