11.06.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S11 Juni 2025

Wakenya sita akiwemo mwanasiasa wa upinzani Martha Karua, Jaji mkuu wa zamani Willy Mutunga wameishitaki serikali ya Tanzania katika mahakama ya haki ya Afrika Mashariki EACJ kwa kuwashikilia kinyume cha sheria na kuwarejesha nchini mwao// Mkutano wa kilele wa Umoja wa Mataifa kuhusu ulinzi wa Bahari unaendelea mjini Nice, kusini mwa Ufaransa.

https://p.dw.com/p/4vl2W

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *