Wakenya sita akiwemo mwanasiasa wa upinzani Martha Karua, Jaji mkuu wa zamani Willy Mutunga wameishitaki serikali ya Tanzania katika mahakama ya haki ya Afrika Mashariki EACJ kwa kuwashikilia kinyume cha sheria na kuwarejesha nchini mwao// Mkutano wa kilele wa Umoja wa Mataifa kuhusu ulinzi wa Bahari unaendelea mjini Nice, kusini mwa Ufaransa.
Independent British journalist Richard Medhurst believes the Axis of Resistance will respond to Ismail Haniyeh’s assassination with unprecedented action, as the regime crossed…